WATU nane, wengi wao wakiwa ni wa asili ya Asia, wanahofiwa kujeruhiwa vibaya kwa bomu lililotupwa kwenye mgahawa uliopo eneo la Gymkhana jijini Arusha usiku wa kuamkia leo. Jeshi la Wananchi likishirikiana na Jeshi la Polisi wanachunguza chanzo cha bomu hilo. Akizungumza na Waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa makosa ya […]
Trending Articles
More Pages to Explore .....